URAMBO LEGAL AVAILMENT AND CHARITY {ulac}
UONGOZI WA SHIRIKA
Shirika la URAMBO LEGAL AVAILMENT AND CHARITY huongozwa na viongozi wa ngazi za juu na wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi wa shirika na shughuli za kila siku husimamiwa na Kamati Kuu ya Utendaji na Mkurugenzi Mtendaji aliyepewa jukumu la kuhakikisha Sera, Kanuni na Miongozo mbali mbali za shirika zinatekelezwa ili kuhakikisha kuwa malengo ya shirika yanafikiwa kwa ukamilifu.
................................
Connect
Get in touch with our team today.
Follow
Support
Simu Na:
+255 784 558 039
+255 762 145 454
+255 784 132 912
© 2025. All rights reserved.