URAMBO LEGAL AVAILMENT AND CHARITY {ulac}
SHUGHULI ZA SHIRIKA
Shirika la URAMBO LEGAL AVAILMENT AND CHARITY linajishughulisha na shughuli mbali mbali za kisheria na za kimaendeleo zinazolenga kuboresha huduma za msingi za kijamii ili kuweza kuboresha maisha ya jamii yasiyo na hofu juu ya haki zao. Miongoni mwa shughuli hizo ni pamoja na;
i. Kuhamasisha kuelimisha jamii juu ya elimu ya kisheria (Legal Aid)
ii. Kuhamasisha na kutoa elimu ya kisheria (Legal Education)
iii. Kuhamasisha jamii kuwa na elimu bora na afya bora kwa jamii.
iv. Kuhamasisha utunzaji wa mazingira kwa vitendo
Connect
Get in touch with our team today.
Follow
Support
Simu Na:
+255 784 558 039
+255 762 145 454
+255 784 132 912
© 2025. All rights reserved.