URAMBO LEGAL AVAILMENT AND CHARITY (ulac)

SHUGHULI ZA SHIRIKA

Shirika la URAMBO LEGAL AVAILMENT AND CHARITY linajishughulisha na shughuli mbali mbali za kisheria na za kimaendeleo zinazolenga kuboresha huduma za msingi za kijamii ili kuweza kuboresha maisha ya jamii yasiyo na hofu juu ya haki zao. Miongoni mwa shughuli hizo ni pamoja na;

i. Kuhamasisha kuelimisha jamii juu ya elimu ya kisheria (Legal Aid)

ii. Kuhamasisha na kutoa elimu ya kisheria (Legal Education)

iii. Kuhamasisha jamii kuwa na elimu bora na afya bora kwa jamii.

iv. Kuhamasisha utunzaji wa mazingira kwa vitendo

Msaidizi wa Kisheria Mr. Edward Philipo akitoa elimu ya ukaitili wa kijinsia kwa wanafunzi wa shule ya msingi Ukondamoyo.

Elimu ya ukatili wa kijinsia (GBV) inaendelea kutolewa kwa makundindi mbalimbali shuleni.

Wanachama wa ULAC wakijengeana uwezo wa utekelezaji wa shughuli zao za kila siku.

Picha ya pamoja baada ya kikao cha Wasaidizi wa kisheria shirika la ULAC

Picha ya ugeni wa LSF kwa shirika la ULAC